3 Basi, Hosea akaenda, akamwoa Gomeri, binti wa Dibulaimu. Gomeri akapata mimba, akamuzalia Hosea mutoto mwanaume.
Adamu akalala na muke wake Eva, naye akapata mimba, akazaa Kaina. Eva akasema: “Nimepata mutoto mwanaume kwa musaada wa Yawe!”
Yule mukubwa aliitwa Ohola, na yule mudogo Oholiba. Basi, wote wakakuwa wangu, wakanizalia watoto, wana na wabinti. Basi, Ohola ni Samaria na Oholiba ni Yerusalema!