9 Naye Yawe akamwambia Musa:
Mumoja wenu au mumoja wa wazao wenu akiwa muchafu kwa sababu amegusa maiti au akiwa mbali katika safari, lakini akiwa anataka kunifanyizia sikukuu ya Pasaka,
Musa akawajibu: Mungojee mpaka pale nitakapopata maagizo juu yenu kutoka kwa Yawe.