Siku ya kumi na ine ya mwezi ule wakachinja mwana-kondoo wa Pasaka. Makuhani na Walawi wakapata haya, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yawe.
Ingekuwa hivi, ingemupasa ateswe mara nyingi tangu kuumbwa kwa dunia. Lakini sasa, wakati ukikaribia kwa mwisho, yeye alitokea mara moja tu kusudi awasamehe watu zambi kwa njia ya kujitoa mwenyewe sadaka.