Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hii itakuwa siku ya kumi na ine ya mwezi huu, wakati wa magaribi watafanya hivyo kufuatana na masharti na maagizo yake yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:3
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku ya kumi na ine ya mwezi ule wakachinja mwana-kondoo wa Pasaka. Makuhani na Walawi wakapata haya, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yawe.


Mufalme, viongozi na watu wote wa muji wa Yerusalema walifanya shauri kwa kufanya sikukuu hiyo ya Pasaka katika mwezi wa pili


Mufalme Yosia akafanyia Yawe sikukuu ya Pasaka katika Yerusalema, wakachinja wana-kondoo wa Pasaka siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza.


Yawe akamwambia Musa na Haruni, walipokuwa wangali katika inchi ya Misri:


Magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza mutafanya kwa heshima yangu mimi Yawe sikukuu ya Pasaka.


Waisraeli washike sikukuu ya Pasaka kwa wakati uliopangwa.


Kwa hiyo, Musa akawaambia watu kwamba wanapaswa kushika sikukuu ya Pasaka.


Ingekuwa hivi, ingemupasa ateswe mara nyingi tangu kuumbwa kwa dunia. Lakini sasa, wakati ukikaribia kwa mwisho, yeye alitokea mara moja tu kusudi awasamehe watu zambi kwa njia ya kujitoa mwenyewe sadaka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ