Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kwa agizo la Yawe walipiga kambi na kwa agizo la Yawe walisafiri. Walishika agizo la Yawe kama vile alivyotoa amri yake kwa njia ya Musa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:23
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kwa sababu Abrahamu alinitii mimi, akashika maagizo yangu, amri zangu, masharti yangu na sheria zangu.”


Aliwaongoza katika njia iliyonyooka, mpaka wakafika katika muji wa kukaa.


Wewe unaniongoza kwa mashauri yako; na kwa mwisho utanipokea kwenye utukufu.


Kutoka jangwa la Sini, Waisraeli wote pamoja wakasafiri hatua kwa hatua kama vile Yawe alivyoamuru. Watu wakapiga kambi kule Refidimu. Lakini kule hakukukuwa maji ya kunywa.


Kama vile ngombe wanavyopelekwa kwa kulishwa katika bonde, ndivyo Roho wa Mungu alivyowapumzisha watu wake. Ndivyo, ee Mungu ulivyowaongoza watu wako, nawe ukajipatia jina tukufu.


Kisha kutimiza kazi ya vitu vyangu vitakatifu, mumeruhusu watu wa mataifa mengine kutimiza kazi hiyo katika hekalu langu.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Ukifuata njia zangu na kushika maagizo niliyokupa, basi, utaisimamia nyumba yangu na viwanja vyake. Nami nitakuwezesha kuingia katika utumishi wangu kama hawa wanaosimama mbele yangu.


Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Yawe kama ilivyotolewa na Musa.


Hata kama wingu hilo lilikaa juu ya hema kwa muda wa siku nyingi, Waisraeli walimutii Yawe, nao hawakuondoka.


Wala hamukuwaacha wandugu zenu kwa muda ule wote murefu mpaka leo, lakini mumefuata kwa uangalifu amri ya Yawe, Mungu wenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ