Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Wakati mwingine wingu hilo lilikaa juu ya hema kwa muda wa siku chache tu. Kwa agizo la Yawe, Waisraeli walipiga kambi na ni kwa agizo la Yawe walisafiri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:20
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muangalie kuta zake na kuchunguza pango zake za kukimbilia, mupate kuelezea vizazi vitakavyokuja kwamba:


Umutumainie Yawe kwa moyo wako wote, wala usitegemee akili zako mwenyewe.


Umutambue Mungu katika kila kitu unachofanya, naye atasawanisha njia zako.


Kwa mara ya kwanza Waisraeli walifunga safari hiyo kwa amri ya Yawe kama ilivyotolewa na Musa.


Walisafiri kwa amri ya Yawe, na kupiga kambi tena kwa amri yake. Muda wote wingu hilo lilipokuwa juu ya hema, watu walikaa katika kambi hiyo.


Hata kama wingu hilo lilikaa juu ya hema kwa muda wa siku nyingi, Waisraeli walimutii Yawe, nao hawakuondoka.


Wakati mwingine wingu lilikaa juu ya hema tangu magaribi mpaka asubui tu; na mara tu lilipoinuliwa, hao watu vilevile walifunga safari. Na ikiwa lilikaa juu ya hema muchana kutwa na usiku kucha, wao waliondoka tu wingu lilipoinuliwa.


Basi, musiwaogope, kwa sababu Yawe, Mungu wenu, yuko kati yenu. Yeye ni Mungu mukubwa na wa kutisha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ