Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Waisraeli washike sikukuu ya Pasaka kwa wakati uliopangwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:2
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha mufalme akawaamuru watu wote, akisema: “Mumufanyie Yawe, Mungu wenu, Pasaka, kama ilivyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.”


Mufalme Yosia akafanyia Yawe sikukuu ya Pasaka katika Yerusalema, wakachinja wana-kondoo wa Pasaka siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza.


Katika siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza, watu waliokuwa wamerudi kutoka katika uhamisho walisherehekea Pasaka.


Magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza mutafanya kwa heshima yangu mimi Yawe sikukuu ya Pasaka.


Siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza ni Pasaka ya Yawe.


Hii itakuwa siku ya kumi na ine ya mwezi huu, wakati wa magaribi watafanya hivyo kufuatana na masharti na maagizo yake yote.


Siku ya kwanza ya karamu ya sikukuu ya Mukate Usiyotiwa Chachu, wakati ambapo walichinja kondoo wa Pasaka, wanafunzi wa Yesu wakamwuliza: “Unataka tuende wapi kukutayarishia karamu ya Pasaka?”


Siku ya karamu ya Mukate Usiotiwa Chachu, ndiyo siku ile walipaswa kuchinja kondoo waliotayarishwa kwa ajili ya Pasaka ikatimia.


Waisraeli walipokuwa wamepiga kambi kule Gilgali wakafanya sikukuu ya Pasaka magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi katika mabonde ya Yeriko.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ