Hesabu 9:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
12 Wasiache chakula chochote mpaka asubui, wala wasivunje hata mufupa mumoja wa nyama wa Pasaka. Watafanya sikukuu hii ya Pasaka kulingana na sharti lake lote.
Mwana-kondoo wa Pasaka atakuliwa katika nyumba moja. Hamutatoa nyama yoyote inje ya nyumba alimochinjiwa, wala hamutavunja hata mufupa mumoja wa nyama wa Pasaka.