Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 mutu kama huyo anaruhusiwa kufanya hivyo mwezi mumoja kisha, magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa pili. Ataifanya kwa kula mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:11
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mumoja wenu au mumoja wa wazao wenu akiwa muchafu kwa sababu amegusa maiti au akiwa mbali katika safari, lakini akiwa anataka kunifanyizia sikukuu ya Pasaka,


Hii itakuwa siku ya kumi na ine ya mwezi huu, wakati wa magaribi watafanya hivyo kufuatana na masharti na maagizo yake yote.


Mambo haya yalifanyika kusudi Maandiko Matakatifu yanayosema hivi yatimie: “Hakuna hata mufupa wake mumoja utakaovunjwa.”


Musikule sadaka hiyo na mikate iliyotiwa chachu. Kwa muda wa siku saba mutakula mikate isiyotiwa chachu, nayo ni mikate ya mateso – kwa sababu mulitoka Misri kwa haraka; kwa hiyo, muda wote mutakaoishi mutakumbuka ile siku mulipotoka Misri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ