Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mumoja wenu au mumoja wa wazao wenu akiwa muchafu kwa sababu amegusa maiti au akiwa mbali katika safari, lakini akiwa anataka kunifanyizia sikukuu ya Pasaka,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 9:10
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wengi sana wakakusanyika Yerusalema katika mwezi wa pili, kwa kufanya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu.


Watu wengi kati ya wale waliotoka katika kabila la Efuraimu, Manase, Isakari na Zebuluni, walikuwa wakifanya Pasaka kinyume cha maagizo. Hii ni kwa kuwa mufalme Hezekia aliwaombea akisema: “Yawe, wewe ni mwema. Umusamehe mutu yeyote


Mufalme, viongozi na watu wote wa muji wa Yerusalema walifanya shauri kwa kufanya sikukuu hiyo ya Pasaka katika mwezi wa pili


mutu kama huyo anaruhusiwa kufanya hivyo mwezi mumoja kisha, magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa pili. Ataifanya kwa kula mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu.


uache sadaka yako pale mbele ya mazabahu na uende kwanza kusikilizana naye. Na kisha urudie na kutoa sadaka yako.


Sikukuu ya Wayuda ya Pasaka ilikuwa karibu. Basi watu wengi toka katika vijiji wakaenda Yerusalema kusudi wajitakase mbele ya Pasaka.


Basi kila mutu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ