Hesabu 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
10 Mumoja wenu au mumoja wa wazao wenu akiwa muchafu kwa sababu amegusa maiti au akiwa mbali katika safari, lakini akiwa anataka kunifanyizia sikukuu ya Pasaka,
Watu wengi kati ya wale waliotoka katika kabila la Efuraimu, Manase, Isakari na Zebuluni, walikuwa wakifanya Pasaka kinyume cha maagizo. Hii ni kwa kuwa mufalme Hezekia aliwaombea akisema: “Yawe, wewe ni mwema. Umusamehe mutu yeyote
mutu kama huyo anaruhusiwa kufanya hivyo mwezi mumoja kisha, magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa pili. Ataifanya kwa kula mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu.