9 Kisha utawakusanya watu wote wa Israeli na kuwaleta Walawi mbele ya hema la mukutano.
Vilevile, kwa ajili ya kazi ya Mungu katika Yerusalema, waliwapanga makuhani katika makundi yao ya Walawi katika zamu zao kufuatana na maagizo yaliyoandikiwa katika kitabu cha Musa.
Utamwita Haruni na wana wake wakuje kwenye mulango wa hema la mukutano, kisha uwanawishe.
Kisha, ukusanye Waisraeli wote pamoja mbele ya mulango wa hema la mukutano.