Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Toka sehemu za juu mpaka chini kinara hicho cha taa kilikuwa kimetengenezwa kwa ufundi mukubwa kwa zahabu iliyofuliwa kufuatana na mufano ambao Yawe alikuwa amemwonyesha Musa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 8:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utatengeneza vilevile mufano wa makerubi wawili kwa kufua zahabu, uwaweke kwenye miisho miwili ya kiti kile;


Utatengeneza hema hiyo na vifaa vyake kulingana na mufano nitakaokuonyesha.


Hivyo utalitengeneza hema hilo kulingana na mufano niliokuonyesha juu ya mulima.


Akatengeneza vilevile makerubi wawili kwa kufua zahabu kwenye miisho ya kifuniko hicho;


Haruni akatii maagizo hayo, akaweka taa hizo kusudi ziangaze upande wa mbele wa kinara, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


Kazi wale makuhani wanayofanya ni mufano na kitambulisho kinachoonyesha jinsi mambo kamili yanavyopitika mbinguni. Maneno hayo yanalingana na yale yaliyomutokea Musa. Wakati Musa alipokuwa karibu ya kujenga Hema, Mungu alimwambia: “Ufanye angalisho kusudi upate kutengeneza kila kitu kufuatana na mufano niliokuonyesha kwa mulima.”


Basi ilikuwa lazima vitu vile vinavyoonyesha mufano wa mambo yanayopitika katika mbingu vitakaswe kwa njia ile. Lakini mambo kamili ya mbinguni yanahitaji kutakaswa kwa sadaka inayokuwa bora zaidi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ