25 Na tangu umri wa miaka makumi tano ataacha kazi; asitumike tena.
utawahesabu wanaume wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano wanaofaa kujiunga na kazi ya hema la mukutano.
Kila Mulawi mwenye umri wa miaka makumi mbili na mitano na zaidi, atatumika katika hema la mukutano.
Lakini, anaweza kuwasaidia Walawi wenzake wanapotumika katika hema, lakini haruhusiwi kufanya kazi yoyote peke yake. Ndivyo utakavyowapangia Walawi kazi.
Nimeshindana vizuri, nimekimbia na kufika mwisho wa mashindano yangu. Nimelinda imani yangu.