23 Yawe akamwambia Musa:
Kisha hayo Walawi wakaingia na kufanya kazi yao katika hema la mukutano chini ya usimamizi wa Haruni na wana wake, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.
Kila Mulawi mwenye umri wa miaka makumi mbili na mitano na zaidi, atatumika katika hema la mukutano.