Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 7:84 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

84 Jumla ya matoleo ya sadaka za viongozi wa Israeli kwa ajili ya mazabahu siku ilipotakaswa ilikuwa: sahani za feza kumi na mbili, beseni za feza kumi na mbili, na visahani vya zahabu kumi na viwili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 7:84
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utatengeneza kwa ajili yake: sahani na vikombe vya kuwekea ubani na vilevile makopo na bakuli za kumiminia sadaka za kinywaji. Ufanye vyombo hivyo vyote kwa zahabu safi.


Siku Musa alipomaliza kusimamisha hema takatifu, akalimiminia mafuta na kulitakasa pamoja na vyombo vyake vyote. Akamiminia mazabahu mafuta na kuitakasa pamoja na vyombo vyake vyote.


Viongozi hao wakatoa sadaka kwa ajili ya kuitakasa mazabahu siku ile ilipopakwa mafuta; walitoa sadaka zao mbele ya mazabahu.


Kila sahani ya feza, ilikuwa yenye uzito wa kilo moja na nusu na kila kisahani kilikuwa chenye uzito wa grama mia nane. Hivyo vyombo vyote vilikuwa na uzito wa kilo makumi mbili na saba na grama mia sita kadiri ya vipimo vya hema takatifu.


Sisi tuko na mazabahu yetu, nao makuhani Wayuda wanaotumika katika Pahali Patakatifu hawana ruhusa ya kula sehemu ya vitu vinavyotolewa sadaka juu ya mazabahu ile.


Na ukuta uliozunguka muji ule ulikuwa umejengwa juu ya mawe ya musingi kumi na mawili na juu ya kila jiwe kulikuwa kumeandikwa jina la kila mumoja wa mitume kumi na wawili wa Mwana-Kondoo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ