Basi, wakaondoa Sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Abinadabu iliyokuwa juu ya mulima, wakalibeba juu ya gari jipya. Wana wa Abinadabu, Uza na Ahio, wakaongoza gari lile jipya,
wakamuletea Yawe matoleo yao: magari sita yaliyofunikwa na ngombe dume kumi na wawili, gari moja kwa kila viongozi wawili na ngombe dume mumoja kwa kila kiongozi. Kisha kuvitoa mbele ya hema takatifu,