8 Muda wote atakaokuwa munaziri atakuwa mutakatifu kwa Yawe.
hata kama ni ya baba, mama, ndugu au dada yake, kusudi asijichafue kwa maana amejitakasa kwa Yawe kwa kiapo.
Kama mutu anakufa kwa rafla karibu na munaziri na kuchafua nywele zake, huyu munaziri atanyoa kichwa chake wakati wa siku ya kutakaswa kwake; atakinyoa katika siku ya saba.
Nilimwomba anipe mutoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.
Kwa sababu hiyo, mimi ninamupa Yawe mutoto huyu; wakati wote atakapokuwa anaishi, ametolewa kwa Yawe.” Halafu, wakamwabudu Yawe pale.