Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 6:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Yawe awaangalie kwa wema, na kuwatendea mema;

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 6:25
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu alipoinua macho yake na kumwona Benjamina, ndugu yake, mutoto wa mama yake, akasema: “Huyu ndiye ndugu yenu mudogo muliyeniambia habari zake? Mungu akubariki, mwana wangu!”


Uniangazie uso wako kwa wema, unifundishe masharti yako.


Kwa musaada wako, amepata utukufu sana; wewe umemujalia sifa na heshima.


Maisha yangu ni katika mikono yako. Uniokoe kutoka waadui zangu, uniokoe kutoka hao wanaonitesa.


Wengi wanasema: “Heri tungefanikiwa tena! Ee Yawe, utuangalie kwa wema!”


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa vyombo vyenye nyuzi. Zaburi. Wimbo.


Hatutakuacha tena; utujalie uzima, nasi tutakusifu.


Umetufanya jambo la mazarau kwa jirani zetu; waadui zetu wanatuchekelea.


Unigeukie, unihurumie; unijalie nguvu yako mimi mutumishi wako, umwokoe mutoto wa mujakazi wako.


Yawe akamujibu: Nitapita mbele yako na kukuonyesha uzuri wangu wote nikilitangaza jina langu, Yawe. Mimi nitamuhurumia yule ninayependa kumuhurumia; nitamurehemu yule ninayependa kumurehemu.


Kwa hiyo, ee Mungu, usikilize malalamiko yangu na maombi yangu mimi mutumishi wako. Kwa ajili ya heshima yako, ulionee tena hekalu lako lililoharibika huruma.


Kwa hiyo sasa enyi makuhani, mumwombe Mungu kusudi atuhurumie. Yawe wa majeshi anasema hivi: Ikiwa munamutolea matoleo ya aina hiyo, kweli atawakubali?


Sheria ya Mungu ilitolewa kwa njia ya Musa, lakini neema na ukweli vilikuja kwa njia ya Yesu Kristo.


Ninawaandikia ninyi wote wapenzi wa Mungu munaokaa Roma, mulioitwa kuwa watu wake watakatifu. Ninawatakia neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ