Hesabu 6:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Hapo kwenye mulango wa hema la mukutano, munaziri huyo atanyoa nywele zake na kuzitia katika moto unaokuwa chini ya sadaka ya amani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Paulo akaendelea kule Korinto kwa muda wa siku nyingi. Kisha akaagana na wandugu waamini, akasafiri kwa njia ya chombo na kwenda katika inchi ya Suria. Nao Prisila na Akila walikuwa pamoja naye. Mbele ya kuondoka, Paulo alinyolewa kwenye kivuko cha Kenkurea, kwa maana alikuwa ametimiza kiapo alichofanya mbele ya Mungu.