Hesabu 6:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 na kujitakasa kwa Yawe kwa siku zake za kujitenga. Hizo siku za kwanza hazitahesabiwa kwa sababu nywele zake zilizokuwa zimetakaswa zimechafuka. Atatoa mwana-kondoo dume wa mwaka mumoja kuwa sadaka ya kosa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |