Hesabu 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Kuhani atamutoa mumoja kuwa sadaka kwa ajili ya zambi na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, naye atamufanyia ibada ya upatanisho, kwa sababu alitenda zambi kwa sababu ya maiti. Siku hiyohiyo atatakasa kichwa chake အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |