4 Waisraeli wakafanya hivyo, wakawafukuza inje ya kambi. Kama vile Yawe alivyomwambia Musa, ndivyo Waisraeli walivyofanya.
Basi mufalme Uzia akakuwa na ukoma mpaka siku ya kufa kwake. Alikaa katika nyumba yake ya pekee maana hakukubaliwa tena kuingia katika nyumba ya Yawe. Na Yotamu mutoto wake, akatunza jamaa yake akitawala wakaaji wa inchi.
Kisha Waisraeli wakaenda, wakafanya kama vile walivyoambiwa na Musa na Haruni kulingana na amri ya Yawe.
Waisraeli wote walitii sheria hiyo na kufanya kama vile Yawe alivyowaagiza Musa na Haruni.
Mutawatoa inje ya kambi watu wote hawa, wanaume na wanawake, kusudi wasichafue kambi yangu ninamokaa.
Kisha Yawe akamwambia Musa: