Hesabu 5:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Lakini kama mwanamuke huyo hajajichafua na hana kosa, basi hatapatwa na hasara na ataweza kupata watoto. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Majaribu hayo ni kwa ajili ya kupima imani yenu. Zahabu ni kitu kinachoharibika, lakini ingawa vile inapimwa kwa njia ya kuchomwa ndani ya moto. Hivi vilevile imani yenu inayokuwa ya bei kali kuliko zahabu, inapaswa kupimwa kusudi ijulikane kuwa ya kweli. Na kwa sababu hii mutapata sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atakapotokea.