Halafu akaniambia hivi: Wewe mwanadamu, kula kizingo hiki ninachokupa, ujaze tumbo lako na kulishibisha. Basi, nikakikula, nacho kikakuwa kitamu ndani ya kinywa changu kama vile asali.
Akisha kunywa, kama amejichafua na hakukuwa mwaminifu kwa mume wake maji hayo yanayoleta laana yataingia ndani ya matumbotumbo yake na kuwa machungu, na tumbo lake litavimba naye atakuwa tasa. Mwanamuke huyo atakuwa laana kati ya watu wake.