20 Lakini kama umepotoka wakati uko chini ya mamlaka ya mume wako, na kujichafua kwa kulala na mwanaume mwingine asiyekuwa mume wako,
Mwanaume yeyote akitokwa na mbegu za uzazi, anapaswa kuoga mwili muzima kwa maji, naye atakuwa muchafu mpaka magaribi.
Uwaambie Waisraeli: Kama muke wa mutu yeyote amepotoka na kukosa uaminifu kwa mume wake,