Hesabu 5:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Halafu kuhani atamwapisha mwanamuke huyo akisema: Ikiwa haukulala na mwanaume mwingine na kujichafua wakati uko chini ya mamlaka ya mume wako, basi, hautapatwa na laana inayoletwa na maji haya machungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |