Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 5:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kisha, atamimina maji matakatifu katika chombo cha udongo na atatwaa vumbi inayokuwa chini ndani ya hema takatifu na kuitia katika maji hayo kwa kuyafanya machungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 5:17
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipomwona kwa mbali hawakumutambua. Basi, wakaanza kulalamika na kulia. Wakapasua nguo zao, wakarusha mavumbi katika anga na juu ya vichwa vyao.


Utatengeneza birika la shaba kwa kuoga lenye tako la shaba, uliweke katikati ya hema la mukutano na mazabahu, na kutia maji ndani yake.


Ee Yawe, tumaini la Waisraeli, wote wanaokukataa wafezeheshwe. Wanaokuacha wewe watatoweka, kama majina yaliyoandikwa chini katika mavumbi, kwa maana wamekuacha wewe Yawe, unayekuwa chemichemi ya maji ya uzima.


Inamupasa kuinama na kujinyenyekeza, labda tumaini litakuwa likingali.


Kuhani atamupeleka huyo mwanamuke karibu, na kumusimamisha mbele ya Yawe.


Kuhani atamuweka mbele ya Yawe na kumufunua nywele na kumupa sadaka hiyo ya vyakula inayotolewa kwa sababu ya wivu wa mume wake. Kuhani mwenyewe atashikilia kile chombo chenye maji machungu yanayoleta laana.


Wao walisema hivi kwa kumupima, kusudi wapate sababu ya kumushitaki. Lakini Yesu akainama na kuandika juu ya udongo kwa kidole chake.


Kisha akainama tena na kuandika juu ya udongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ