Hesabu 5:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
14 Lakini, mume wake akiingiwa na shaka na kuwa na wivu juu ya muke wake aliyejichafua; au kama amekuwa na wivu juu ya muke wake ingawa muke wake hakujichafua,
Unipige kama muhuri ndani ya moyo wako, kama muhuri katika mikono yako. Maana mapendo yana nguvu kama kifo, nao wivu ni mukali kama kaburi. Kuwaka kwake ni kama kuwaka kwa moto, unawaka kama ulimi wa moto.
Kwa hiyo muningojee mimi Yawe, ngoja siku nitakaposimama kutoa mashitaki. Nimeamua kuyakusanya mataifa na falme, kuyamwangia kasirani yangu, na ukali wa hasira yangu. Dunia yote itateketezwa kwa moto wa kasirani yangu.
au wakati mwanaume anaposhikwa na wivu na kuwa na mashaka na muke wake. Atamusimamisha mwanamuke huyo mbele ya Yawe, na kuhani atatimiza masharti yote ya sheria hii.