Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 4:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Kila mumoja alipewa kazi yake ya kufanya juu ya kubeba hema la mukutano, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 4:49
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Walawi hawakuhesabiwa pamoja na yale makabila mengine,


Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


Lakini Walawi hawakuhesabiwa kati ya watu wa Israeli kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


akawapa Haruni na wana wake feza hizo za malipo sawa na neno la Yawe, kama vile alivyomwamuru.


Kisha Haruni na wana wake kufunika Pahali Patakatifu pamoja na vyombo na vifaa vyake vyote, wakiwa tayari kuanza safari, watu wa ukoo wa Kohati watakuja na kuvibeba. Lakini wao, hawaruhusiwi kabisa kugusa vyombo hivyo vitakatifu, kusudi wasikufe. Hiyo ndiyo kazi ya ukoo wa Kohati kila wakati hema la mukutano linapohamishwa.


Wao watakuwa na kazi ya kubeba mbao, miti, nguzo na misingi ya hema la mukutano.


Vilevile watabeba nguzo za upango za kuzunguka pande zote, viikalio, misumari na kamba pamoja na vifaa vyake vyote na vyombo vyake vingine vyote. Nawe utawapangia kufuatana na majina yao vitu watakavyopaswa kubeba.


Hii ndiyo hesabu ya watu wa jamaa ya Wakohati, ambao walitumika katika hema la mukutano, ambao Musa na Haruni wakawahesabu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


Hii ndiyo iliyokuwa hesabu ya watu wa jamaa za wana wa Gersoni wote waliotumika katika hema la mukutano, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kama vile Yawe alivyowaamuru.


Hii ndiyo hesabu ya watu wa ukoo wa Merari ambao Musa na Haruni waliwahesabu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ