46 Hivyo, Walawi wote waliohesabiwa na Musa, Haruni na viongozi wa watu, kwa kufuata jamaa zao na ukoo zao,
Walawi wote wanaume wenye umri wa miaka makumi tatu na zaidi, wakahesabiwa. Jumla yao ilikuwa elfu makumi tatu na nane.
Makuhani waliandikishwa kulingana na jamaa zao, na Walawi waliotimiza miaka makumi mbili na zaidi waliandikishwa kulingana na kazi zao na zamu zao.
Hii ndiyo hesabu ya watu wa ukoo wa Merari ambao Musa na Haruni waliwahesabu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.
wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, na ambao walifaa kwa kazi na ubebaji katika hema la mukutano,