36 Hesabu yao kufuatana na jamaa zao ilikuwa watu elfu mbili mia saba na makumi tano.
wakawahesabu watu wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, kila mutu aliyefaa kuingia katika kazi ya hema la mukutano.
Hii ndiyo hesabu ya watu wa jamaa ya Wakohati, ambao walitumika katika hema la mukutano, ambao Musa na Haruni wakawahesabu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.