Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 4:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 wakawahesabu watu wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, kila mutu aliyefaa kuingia katika kazi ya hema la mukutano.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 4:35
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hao ndio wana wa Lawi kulingana na ukoo zao. Kila mumoja wao aliyetimiza umri wa miaka makumi mbili na zaidi, aliandikishwa kwa jina, na alishiriki katika kazi ya kujenga nyumba ya Yawe.


Walawi wote wanaume wenye umri wa miaka makumi tatu na zaidi, wakahesabiwa. Jumla yao ilikuwa elfu makumi tatu na nane.


Akamupatia vilevile mufano wa jinsi ya kuwapanga makuhani na Walawi kwa kutimiza kazi zao, kutumikia nyumba ya Yawe na kutunza vyombo vyote vya nyumba ya Yawe.


utawahesabu wanaume wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano wanaofaa kujiunga na kazi ya hema la mukutano.


utahesabu wanaume wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano wanaofaa kujiunga na kazi ya hema la mukutano.


Utawahesabu wanaume wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, wanaofaa kujiunga kwa kazi ya hema la mukutano.


Basi, Musa, Haruni na viongozi wa Waisraeli wakafanya hesabu ya watu wa ukoo wa Kohati, kufuatana na jamaa zao,


Hesabu yao kufuatana na jamaa zao ilikuwa watu elfu mbili mia saba na makumi tano.


wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, waliofaa kutumika katika hema la mukutano,


wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano waliofaa kutumika katika hema la mukutano,


wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano, na ambao walifaa kwa kazi na ubebaji katika hema la mukutano,


Wakati Yesu alipoanza kazi yake alikuwa na umri wa miaka yapata makumi tatu. Yeye alizaniwa kuwa mwana wa Yosefu. Yosefu alikuwa mwana wa Heli, Heli alikuwa mwana wa Matati, Matati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yana, Yana alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Matatia, Matatia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esili, Esili alikuwa mwana wa Nage, Nage alikuwa mwana wa Mati, Mati alikuwa mwana wa Matatia, Matatia alikuwa mwana wa Simei, Simei alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yoda, Yoda alikuwa mwana wa Yoana, Yoana alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubali alikuwa mwana wa Saltieli, Saltieli alikuwa mwana wa Neri, Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri, Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Matati, Matati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea, Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matata, Matata alikuwa mwana wa Natani, Natani alikuwa mwana wa Daudi, Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nasoni, Nasoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesironi, Hesironi alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaka, Isaka alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori, Nahori alikuwa mwana wa Serugu, Serugu alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sela, Sela alikuwa mwana wa Kainana, Kainana alikuwa mwana wa Aripakisadi, Aripakisadi alikuwa mwana wa Semu, Semu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki, Lameki alikuwa mwana wa Metusela, Metusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahaleli, Mahaleli alikuwa mwana wa Kainana, Kainana alikuwa mwana wa Enosi, Enosi alikuwa mwana wa Seti, Seti alikuwa mwana wa Adamu, Adamu aliumbwa na Mungu.


Yeye hapaswi kuwa mwamini mupya; kusudi asitawaliwe na kiburi na kuhukumiwa kama vile Shetani alivyokuwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ