Hao ndio wana wa Lawi kulingana na ukoo zao. Kila mumoja wao aliyetimiza umri wa miaka makumi mbili na zaidi, aliandikishwa kwa jina, na alishiriki katika kazi ya kujenga nyumba ya Yawe.
Hii ndiyo itakayokuwa kazi ya wana wa ukoo wa Merari katika utumishi wao wote ndani ya hema la mukutano, chini ya uongozi wa Itamari mwana wa kuhani Haruni.