Hesabu 4:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 mapazia na kamba za upango unaokuwa kandokando ya hema na mazabahu, mapazia ya mulango wa kiwanja, na vifaa vyote vinavyotumika pamoja na vitu hivi. Wao watashugulika na mambo yote yanayoelekea vitu hivi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |