22 Uhesabu watu wa ukoo wa Gersoni kufuatana na jamaa na ukoo zao;
Na haya ndiyo majina ya wana wa Gersoni kwa kufuata jamaa zao: Libuni na Simei.
Jamaa za Walibuni na Wasimei zilitokana na Gersoni; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wagersoni.
naye Eliasafu mwana wa Laeli akiwa mukubwa wa ukoo wa Wagersoni.
Yawe akamwambia Musa:
utawahesabu wanaume wote wenye umri kati ya miaka makumi tatu na makumi tano wanaofaa kujiunga na kazi ya hema la mukutano.