“Uwaambie Waisraeli warudi nyuma, wapige kambi mbele ya Pi-Hahiroti, kati ya muji wa Migdoli na bahari Nyekundu, mbele ya Bali-Sefoni. Mutapiga kambi mbele yake karibu na bahari.
Wamisri pamoja na farasi wao wote, magari ya vita na wapanda-farasi wake waliwafuata Waisraeli. Wakawakuta wamepiga kambi kando ya bahari, karibu na Pi-Hahiroti, mbele ya Bali-Sefoni.