Kisha Yawe akamwambia Musa: “Uandike jambo hili katika kitabu, likuwe ukumbusho. Tena umwambie Yoshua kwamba nitawafuta kabisa Waamaleki katika dunia.”
Waisraeli wakaondoka katika muji wa Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku moja nyuma ya Pasaka ya kwanza. Wakaondoka kwa uhodari mukubwa mbele ya Wamisri wote,