Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Musa akawajibu watu wa makabila ya Gadi na Rubeni: Munataka kubaki hapa wakati wandugu zenu Waisraeli wanakwenda kwa vita?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uria alimujibu Daudi: “Sanduku la Agano, pamoja na waaskari wote wa Israeli na Yuda wanakaa kwenye vibanda katika vita. Bwana wangu Yoabu na watumishi wake wote wamepiga kambi katika mbuga. Basi ni vizuri mimi niende nikule na kunywa na kulala na muke wangu? Ninaapa kwamba, kama vile unavyoishi, sitafanya kitu cha namna ile.”


Basi, kama tumepata kukubaliwa mbele yako, wewe Musa, tunakuomba utupatie inchi hii ikuwe mali yetu; usituvukishe ngambo ya muto Yordani.


Mbona munawavunja moyo Waisraeli wasiende katika inchi ambayo Yawe amewapa?


Upendo haukosi kuwa na adabu, hautafuti faida yake mwenyewe, haukasiriki upesi, nao hauhesabii mutu ubaya.


Kila mutu asitafute faida yake mwenyewe, lakini atafute faida ya watu wengine.


Kwa nini walibaki katika mazizi? Kwa kusikiliza milio ya kondoo? Kati ya ukoo za Rubeni kulikuwa kusitasita kwingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ