Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Kwa hiyo, Musa akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, inchi ya Gileadi, nao wakakaa mule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:40
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Segubu alizaa Yairi ambaye alitawala miji mikubwa makumi mbili na mitatu katika inchi ya Gileadi.


“Tulipoitwaa inchi hiyo, nikawapa makabila ya Rubeni na Gadi eneo la kuanzia upande wa kaskazini wa Aroeri karibu na Arnoni na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.


Watu wa kabila la Manase ambaye alikuwa muzaliwa wa kwanza wa Yosefu, vilevile walipewa eneo lao kwa kura. Makiri, muzaliwa wa kwanza wa Manase baba ya Gileadi, alikwisha kupewa kwa kura miji ya Gileadi na Basani, maana alikuwa hodari katika vita.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ