Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 inchi ambayo Yawe alishinda kwa ajili ya Waisraeli, ni inchi nzuri kwa mifugo, nasi tuko na mifugo mingi sana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:4
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Katika siku za utawala wa mufalme Hezekia wa Yuda, watu wale waliotajwa majina yao walikwenda kule Gedori, wakaharibu hema za Wameuni waliokuwa wakiishi kule na kuwafukuza kabisa mpaka leo. Wakafanya makao yao ya kudumu kule kwa sababu kulikuwa malisho tele kwa ajili ya kondoo wao.


Nitawarudisha Waisraeli katika inchi yao, nao watakula mavuno yatakayolimwa juu ya mulima Karmeli na Basani na watatosheka kwa chakula kutoka milima ya Efuraimu na Gileadi.


Ee Mungu, uwachunge watu wako kwa fimbo yako, uwachunge wale wanaokuwa kundi lako mwenyewe ambao wanaishi peke yao katika pori na kuzungukwa na inchi yenye mboleo. Uwachunge kama ulivyofanya pale zamani katika shamba la malisho ya Basani na Gileadi.


Lakini Waisraeli wakamwua kwa makali ya upanga, wakatwaa inchi yake, tangu muto Arnoni mpaka muto Yaboki, mpaka inchi ya Waamoni; nao mupaka wa inchi ya Amoni ulikuwa unalindwa sana.


Lakini Yawe akamwambia Musa: Usimwogope, maana nimemutia katika mikono yako pamoja na watu wake wote na inchi yake yote. Utamutendea kama ulivyomutendea Sihoni, mufalme wa Waamori, aliyekuwa anakaa Hesiboni.


Basi, Waisraeli wakamwua Ogi, wana wake na watu wake wote, bila kumwacha hata mutu mumoja, kisha wakatwaa inchi yake.


Basi, kama tumepata kukubaliwa mbele yako, wewe Musa, tunakuomba utupatie inchi hii ikuwe mali yetu; usituvukishe ngambo ya muto Yordani.


Alifukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi, kusudi awalete na kuwapa inchi yao ikuwe urizi wenu, kama vile inavyokuwa mpaka leo!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ