Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Wazao wa Makiri mwana wa Manase wakashambulia inchi ya Gileadi, wakaiteka na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanakaa mule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:39
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.


Kisha, wakaenda Gileadi halafu Kadesi katika inchi ya Wahiti, halafu wakafika Dani na kutoka Dani wakazunguka kwenda Sidona,


Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi,


Watu wa ukoo wa Makiri wa kabila la Manase nikawapa Gileadi,


Watu wa kabila la Manase ambaye alikuwa muzaliwa wa kwanza wa Yosefu, vilevile walipewa eneo lao kwa kura. Makiri, muzaliwa wa kwanza wa Manase baba ya Gileadi, alikwisha kupewa kwa kura miji ya Gileadi na Basani, maana alikuwa hodari katika vita.


Kwa miaka kumi na minane hao waliwatesa na kuwagandamiza Waisraeli walioishi kule Gileadi katika eneo la Waamori upande wa mashariki wa muto Yordani.


Kutoka Efuraimu waliteremuka katika bonde, wakafuata wandugu zao watu wa Benjamina; kutoka Makiri, majemadari walishuka, kutoka Zebuluni, wenye fimbo ya mutawala.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ