36 Beti-Nimira na Beti-Harani, miji yenye kuta na mazizi ya kondoo.
Miji ya Ataroti, Diboni, Yazeri, Nimura, Hesiboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,
Aturoti-Sofani, Yazeri, Yogibeha,
Kabila la Gadi likajenga miji ya Hesiboni, Eleale, Kiriataimu,
Vilevile miji iliyokuwa katika bonde la Beti-Haramu, Beti-Nimura, Sukoti na Zafoni na inchi yote iliyokuwa ya mufalme Sihoni wa Hesiboni; eneo hilo lilikuwa upande wa mashariki wa Yordani na kupakana na upande wa kusini wa bahari ya Kineroti.