Kuanzia Aroeri, muji unaokuwa kwenye ukingo wa bonde la Arnoni, na ule muji mwingine unaokuwa ndani ya bonde hili mpaka inchi ya Gileadi, hakuna muji wowote ambao hatukuweza kuushinda. Yawe aliitia miji yote katika mikono yetu.
Akajipatia ushindi mukubwa, akateka maeneo makumi mbili yaliyokuwa kati ya Aroeri, sehemu zilizozunguka Miniti na Abeli-Keramimu. Basi Waamoni wakashindwa kabisa na Waisraeli.