Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Kabila la Rubeni likaijenga miji ya Diboni, Ataroti, Aroeri,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:34
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Bela mwana wa Ahazi na mujukuu wa Sema, wa ukoo wa Yoeli, uliokuwa ukiishi Aroeri na katika eneo lote la upande wa kaskazini mpaka Nebo na Bali-Meoni.


Miji inayokuwa chini yake imeachwa matongo milele. Itakuwa makao ya makundi ya nyama, wala hakuna mutu atakayewatisha.


na kutoka Bamoti mpaka kwenye bonde linaloingia katika inchi ya Moabu, kwenye kilele cha mulima Pisiga, kinachoelekea chini katika jangwa.


Lakini sasa wazao wao wameangamizwa, kutoka Hesiboni mpaka Diboni, kutoka Nasimu mpaka Nofa, karibu na Medeba.


Miji ya Ataroti, Diboni, Yazeri, Nimura, Hesiboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,


Kuanzia Aroeri, muji unaokuwa kwenye ukingo wa bonde la Arnoni, na ule muji mwingine unaokuwa ndani ya bonde hili mpaka inchi ya Gileadi, hakuna muji wowote ambao hatukuweza kuushinda. Yawe aliitia miji yote katika mikono yetu.


Akajipatia ushindi mukubwa, akateka maeneo makumi mbili yaliyokuwa kati ya Aroeri, sehemu zilizozunguka Miniti na Abeli-Keramimu. Basi Waamoni wakashindwa kabisa na Waisraeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ