Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Watu wa Gadi na wa Rubeni wakajibu: Bwana, sisi tutafanya kama vile Yawe alivyotuambia sisi watumishi wako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:31
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini kama hawatavuka muto Yordani pamoja nanyi na silaha zao, basi watarizi sehemu ya inchi ya Kanana pamoja nanyi.


Chini ya uongozi wa Yawe, tutavuka na silaha zetu mpaka katika inchi ya Kanana, lakini inchi tuliyopewa hapa upande wa mashariki wa Yordani itakuwa mali yetu.


Musa akasema juu ya kabila la Rubeni: “Rubeni aishi wala asikufe, na watu wake wasikuwe wachache.”


Wakamujibu Yoshua: “Mambo yote uliyotuamuru tutayafanya, na popote utakapotutuma tutakwenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ