Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 32:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Lakini sisi watumishi wako tuko tayari kwenda kwa vita chini ya uongozi wa Yawe. Tutavuka muto Yordani na kupigana, kama vile ulivyosema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 32:27
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hapo, Yoshua mwana wa Nuni, ambaye alikuwa musaidizi wa Musa tangu ujana wake, akamwambia Musa: Bwana wangu, uwakataze!


Hapo, Haruni akamwambia Musa: Ewe bwana wangu, tumetenda mambo ya kipumbafu na kufanya zambi. Lakini usituazibu!


Lakini sisi wenyewe tutatwaa silaha zetu tayari kwenda kwa vita pamoja na wandugu zetu Waisraeli, na tutakuwa kwa mustari wa mbele katika vita mpaka tuwafikishe pahali watakapokaa. Wakati huo watoto wetu watakaa kwenye miji yenye kuta, kwa kujilinda na wenyeji wa inchi hii.


Basi, Musa akatoa amri hizi kwa kuhani Eleazari, kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli:


Wakasema: Yawe alikuamuru kuwagawanyia watu wa Israeli inchi kwa kura kuwa urizi wao; alikuamuru vilevile uwape wabinti za Selofehadi ndugu yetu urizi wa baba yao.


Wanaume wa kabila la Rubeni na la Gadi na nusu ya kabila la Manase waliwatangulia Waisraeli wakiwa na silaha zao, kama vile walivyoagizwa na Musa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ