25 Kisha, watu wa Gadi na wa Rubeni wakamwambia Musa: Sisi watumishi wako tutafanya kama vile ulivyotuamuru.
Muwajengee watoto wenu miji na kondoo wenu mazizi; lakini mufanye kama vile mulivyoahidi.
Wake zetu, watoto wetu na kondoo na ngombe, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.
Wakamujibu Yoshua: “Mambo yote uliyotuamuru tutayafanya, na popote utakapotutuma tutakwenda.