24 Muwajengee watoto wenu miji na kondoo wenu mazizi; lakini mufanye kama vile mulivyoahidi.
“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, anayejilaza kati ya mizigo yake.
Kisha Musa akazungumuza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia: Hili ndilo neno lililoamriwa na Yawe:
Basi, wakamwendea Musa, wakamwambia: Kwanza uturuhusu tuwajengee kondoo wetu mazizi, na watoto wetu miji hapa.
Kisha, watu wa Gadi na wa Rubeni wakamwambia Musa: Sisi watumishi wako tutafanya kama vile ulivyotuamuru.