21 Kila mupiganaji wenu atavuka muto Yordani na mukiwa chini ya uongozi wa Yawe, mutawashambulia waadui zetu mpaka Yawe awashinde,
Musa akawaambia: Kama kweli mutafanya kama vile mulivyosema, basi hapahapa mbele ya Yawe, mutwae silaha zenu kwenda kwa vita.
na kurizi inchi. Mukisha kufanya hayo, mutarudi, maana mutakuwa bila kosa mbele ya Yawe na wandugu zenu Waisraeli. Kisha Yawe atakubali inchi hii ya upande wa mashariki wa Yordani kuwa mali yenu.
“Mukumbuke lile jambo ambalo Musa, mutumishi wa Yawe, aliwaamuru akisema: ‘Yawe, Mungu wenu, atawapa pahali pa kupumzika, na atawapa inchi hii’.