Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 31:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Waisraeli wakawapeleka kuwa wafungwa wanawake wa Midiani na watoto wao. Wakanyanganya: ngombe, kondoo na mali yao yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 31:9
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walitwaa mali yote, watoto na wanawake wote na chochote kilichokuwa ndani ya nyumba zao.


Yawe, Mungu wake akamwacha mufalme Ahazi ashindwe na mufalme wa Suria ambaye vilevile akawapeleka watu wake wengi, akarudi nao Damasiki. Vilevile, alimufanya ashindwe na mufalme wa Israeli ambaye alimushinda na kuua watu wengi sana.


Miji yao yote, makao yao na kambi zao zote wakaziteketeza kwa moto.


(Kila askari alijitwalia vitu vyake mwenyewe).


Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.


Lakini wanawake na watoto, ngombe, na vyote vinavyokuwa katika muji, vitu vyake vyote munaweza kuvibeba kwa ajili yenu wenyewe. Munaweza kufurahia vitu vya waadui zenu, ambavyo Yawe, Mungu wenu, amewapa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ