“Watu wako wakienda kwa vita kupigana na adui yao kwa upande wowote utakapowapeleka, nao wakikuomba wakielekea muji uliouchagua na nyumba niliyoijenga kwa ajili ya jina lako,
Basi Wamoabu wakawaambia viongozi wa Midiani: Makundi haya ya watu sasa hivi yataharibu kila kitu kandokando yetu kama vile ngombe dume anavyokula majani katika shamba. Kwa hiyo, Balaki mwana wa Sipori aliyekuwa mufalme wa Moabu wakati ule,