Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hesabu 30:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Lakini kama baba yake akisikia juu ya kiapo hicho, akimupinga, basi kiapo chake au ahadi yake havitamufunga. Yawe atamusamehe kwa sababu baba yake amelipinga jambo hilo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hesabu 30:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninamutumainia Mungu, wala siogopi. Mutu atanifanya nini?


Nao wanawake wakasema: Tulimufukizia malkia wa mbinguni ubani na kumutolea sadaka ya kinywaji. Tulifanya hivyo kwa ruhusa ya waume wetu. Tena tulimutengenezea mikate yenye sura yake na kumutolea sadaka ya kinywaji.


Au, kama mutu akiapa kufanya kitu chochote, chema au kibaya, kama vile watu wanavyofanya bila kufikiri, atakapojua atakuwa na kosa.


na baba yake akisikia ahadi hiyo naye hamupingi, yule binti atafungwa na kila kiapo na ahadi aliyofanya.


Ikiwa binti ataolewa kisha kufanya kiapo au kuahidi bila kufikiri vizuri kwanza,


Akafanya kiapo akisema: “Ee Yawe wa majeshi, kama tu utayaangalia mateso yangu mimi mujakazi wako, ukinikumbuka mimi, bila kunisahau, mimi mujakazi wako, ukinijalia mimi mujakazi wako mutoto mwanaume, nitakupa wewe Yawe mutoto huyo akuwe wako maisha yake yote; wembe hautapita kwenye kichwa chake hata kidogo.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ